Donini wa Kaisarea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Donini wa Kaisarea (alifariki Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli, 307) alikuwa kijana mganga Mkristo ambaye mwanzoni mwa dhuluma ya kaisari Dioklesyano aliteswa miaka mitano kwa sababu ya imani yake na hatimaye alichomwa moto kwa kuwa alikataa kuikana[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 5 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.