Daudi wa Thesalonike
Mandhari
| Daudi wa Thesalonike | |
|---|---|
Picha takatifu ya Mt. Daudi akiishi juu ya mlozi | |
| Amezaliwa | 450 |
| Feast | |
Daudi wa Thesalonike (Mesopotamia, 450 hivi - Thermes, Ugiriki, 540) alikuwa mmonaki aliyepata umaarufu kwa karama yake ya ushauri iliyomvutia heshima ya wanajumuia wenzake na ya umati wa watu.
Walipotaka kumfanya abati, baada ya kuishi miaka 80 katika chumba kidogo nje ya mji, alikataa akaenda kuishi miaka 3 juu ya mti wa mlozi[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Wakatoliki na Waanglikana kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Parry, Ken (1999). David Melling (mhr.). The Blackwell Dictionary of Eastern Christianity. Malden, MA.: Blackwell Publishing. ISBN 0-631-23203-6.
- Velimirovic, Nicholas. The Prologue from Ochrid, vol. 2. Birmingham: Lazarica Press, 1986
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- God's Foolishness, a discussion of holy fools, including David the Dendrite
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
