Daraja la Sibiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Daraja la Sibiti
English: Sibiti Bridge
YavukaMto Sibiti
MahaliIramba, Tanzania
MmilikiSerikali ya Tanzania
Urefumita 82
MjenziHainan Int. Ltd (China)
Ujenzi ulianzaSeptemba 2012
Gharama za ujenziTZS 19.2 billion
Anwani ya kijiografia4°23′9.2″S 34°28′3.05″E / 4.385889°S 34.4675139°E / -4.385889; 34.4675139
Daraja la Sibiti is located in Tanzania
Daraja la Sibiti
Mahali ya daraja nchini Tanzania

Daraja la Sibiti ni daraja chini ya ujenzi utakaovuka Mto Sibiti nchini Tanzania.