Centro Sur

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Centro Sur
Mahali paCentro Sur
Mahali paCentro Sur
Nchi Equatorial Guinea
Makao makuu Evinayong
Eneo
 - Jumla 9,931 km²
Idadi ya wakazi (2015[1])
 - Wakazi kwa ujumla 141,903

Centro Sur (Kihispania kwa "Kusini-Kati") ni mkoa wa Guinea ya Ikweta. Mji mkuu wake ni Evinayong.

Mkoa huu ni sehemu ya kanda la Rio Muni lililopo kwenye bara la Afrika.

Centro Sur inapakana na Mkoa wa Estuaire wa Gabon upande wa kusini-magharibi na Mkoa wa Woleu-Ntem upande wa kusini-mashariki, halafu Mkoa wa Kusini wa Kamerun upande wa kaskazini. Ndani ya nchi, inapakana na Kié-Ntem kwenye kaskazini-mashariki, Wele-Nzas kwenye kusini-mashariki, na Litoral upande wa magharibi.

Centro Sur ina miji mitatu kuu: Akurenam, Niefang na Evinayong.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Censo de población 2015–República de Guinea Ecuatorial" (kwa Kihispania). INEGE. uk. 7. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 8 October 2017. Iliwekwa mnamo 8 October 2017.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)