Litoral (Guinea ya Ikweta)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Litoral
Mahali paLitoral
Mahali paLitoral
Nchi Equatorial Guinea
Makao makuu Bata
Eneo
 - Jumla 6,665 km²
Idadi ya wakazi (2015)
 - Wakazi kwa ujumla 366,310[1]

Litoral (ikimaanisha "Pwani") ndio mkoa wenye watu wengi zaidi wa Guinea ya Ikweta. Katika sensa ya mwaka 2015 ulikuwa na wakazi 367,348. Mji mkuu wake ni Bata; miji mingine miwili ni Mbini na Kogo.

Mkoa huo ni sehemu ya kanda ya Rio Muni iliyopo kwenye sehemu ya bara ya nchi.

Mpaka wa magharibi wa Litoral ni pwani ya Ghuba ya Guinea. Kwenye nchi kavu inapakana na mikoa ifuatayo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Censo de población 2015–República de Guinea Ecuatorial (es). INEGE. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-10-08. Iliwekwa mnamo 8 October 2017.