Bweni (Pangani)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwa matumizi tofauti ya jina hili tazama Bweni

Bweni ni kata ya Wilaya ya Pangani katika Mkoa wa Tanga, Tanzania, yenye Postikodi namba 21303.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 1,493 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 1,263 waishio humo.

Wakazi wakaao Bweni wengi ni Wazigua na Wasambaa. Hao husifika sana kutokana na ukarimu walionao.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Pangani - Mkoa wa Tanga - Tanzania

Bushiri | Bweni | Kimang'a | Kipumbwi | Madanga | Masaika | Mikunguni | Mkalamo | Mkwaja | Mwera | Pangani Magharibi | Pangani Mashariki | Tungamaa | Ubangaa

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bweni (Pangani) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.