Pangani Magharibi

Pangani Magharibi ni jina la kata ya Wilaya ya Pangani katika Mkoa wa Tanga, Tanzania na sehemu ya mji wa Pangani yenye Postikodi namba 21301. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 4,949 waishio humo. [1]
Pangani Magharibi huitwa pia Myongeni ni sehemu ambako wafanyakazi wa mashamba makubwa wa katani walipanga nyumba zao nje ya mji wa kihistoria ya Pangani.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ 2002 Population and Housing Census General Report (en). Government of Tanzania. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-12-26. Iliwekwa mnamo 2008-08-21.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Pangani Magharibi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |
![]() |
Kata za Wilaya ya Pangani - Mkoa wa Tanga - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Bushiri | Bweni | Kimang'a | Kipumbwi | Madanga | Mkunguni | Mkalamo (Pangani) | Mkwaja | Mwera | Pangani Magharibi | Pangani Mashariki | Tungamaa | Ubangaa |