Bukayo Saka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bukayo Saka
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUfalme wa Muungano Hariri
Nchi anayoitumikiaUingereza Hariri
Jina katika lugha mamaBukayo Saka Hariri
Jina la kuzaliwaBukayo Ayoyinka Temidayo Saka Hariri
Jina halisiBukayo Hariri
Jina la familiaSaka Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa5 Septemba 2001 Hariri
Mahali alipozaliwaEaling Hariri
Lugha ya asiliKiingereza Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiingereza Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuwinger Hariri
AlisomaGreenford High School Hariri
Muda wa kazi2018 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
AmeshirikiUEFA Euro 2020, Kombe la Dunia la FIFA 2022 Hariri

Bukayo Ayoyinka T. M. Saka (alizaliwa Ealing, Greater London, 5 Septemba 2001)[1] ni mchezaji wa soka wa Uingereza ambaye anacheza kama winga kwa klabu ya Arsenal FC.

Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]

Bukayo Saka ana asili ya Nigeria kwani wazazi wake wote ni wenyeji wa Nigeria waliohamia Uingereza kikazi. Jina lake Bukayo ni la kiasili linalomaanisha "Ongezeko la furaha" katika lugha ya kabila la Wayoruba linalopatikana kusini mwa Nigeria.

Saka alisoma shule ya msingi ya Edward Betham CofE ambapo baadae alijiunga na sekondari ya Greenford.

Saka alisikika akisema baba yake mzazi ndiye chachu au hamasa kubwa ya mafanikio yake kwani amekuwa bega kwa bega tangu mwanzo wa maisha yake ya mpira wa miguu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bukayo Saka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.