Berkari
Jump to navigation
Jump to search
Berkari (pia: Berchaire, Bererus; Akwitania, leo nchini Ufaransa, 620 - Montier-en-Der, leo nchini Ufaransa, 685/696) alikuwa mmonaki wa Kanisa Katoliki, aliyeunganisha desturi za Kolumbani na za Benedikto kwa monasteri ambazo alizianzisha na kuziongoza.
Aliuawa na mtawa mbaya aliyekuwa ameafukuzwa naye. Mwenyewe alimsamehe.[1]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Machi[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Patrick Corbet, Les moines du Der 673-1790, Dominique Guéniot, 2003
- Charles Lalore, Polyptyque de Montier-en-Der, éd Charles Lalore, Paris, 1878
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |