Basa na wanae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Serbia katika Gračanica Monastery, 1318.

Basa na wanae Teogni, Agapi na Pisto (walifariki 310 hivi) walikuwa Wakristo walioteswa na kuuawa chini ya kaisari Masimiani [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 21 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.