Artemis Zatti
Mandhari
Artemis Zatti, S.D.B. (Kiitalia: Artemide Zatti; Boretto, Italia, 12 Oktoba 1880 – Viedma, Argentina, 15 Machi 1951) alikuwa mtawa wa shirika la Wasalesiani wa Yohane Bosco ambaye kama mfamasia alishughulikia vizuri sana wagonjwa wa nchi aliyoihamia utotoni[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 14 Aprili 2002, halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 9 Oktoba 2022[2][3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90087
- ↑ CNA. "Immigrant nurse to be canonized". Catholic News Agency (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-09-28.
- ↑ "Vatican – ARTEMIDE ZATTI, PROCLAIMED SAINT". www.infoans.org (kwa Kiitaliano). Iliwekwa mnamo 2022-04-09.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |