Artema

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Artema (aliishi na kufariki Pozzuoli, Napoli, Italia, 25 Januari, mwishoni mwa karne ya 3 au mwanzoni mwa karne ya 4) alikuwa kijana Mkristo aliyeeneza imani yake kwa wanafunzi wenzake. Alipokataa kuacha juhudi hizo, alihukumiwa auawe na wenzake hao kwa kutumia kalamu zao[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.