Nenda kwa yaliyomo

Angadrisma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Angadrisma.

Angadrisma (pia: Angadrême, Angadresima, Angadreme, Angradesma, Andragasyna; Thérouanne, Ufaransa karne ya 7 - Beauvais, Ufaransa, 695 hivi), alikuwa mwanamke aliyeongoza kama abesi monasteri ya Kibenedikto iliyoanzishwa na Ebrolfi na iliyoitwa mahali pa sala, kwa sababu ilikuwa na sehemu mbalimbali alipomtumikia Bwana mfululizo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.