Nenda kwa yaliyomo

Ebrulfi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Ebrolfi)
Sanamu yake.

Ebrulfi (pia: Ebrulf, Ebrulfo, Eberulfus, Ebrulfus, Ebrulphus, Evroldus, Évroult, Evroult, Evroul, Evrou, Yvrou; Bayeux, 517 - Exmes, 29 Desemba 596) alikuwa mmonaki, halafu mkaapweke na hatimaye abati wa monasteri ya Ouche, kaskazini mwa Ufaransa, wakati wa mfalme Kildabati, akaanzisha monasteri 15 kwa jumla.

Kabla ya hapo alikuwa afisa na mtu wa ndoa, lakini baadaye alikubaliana na mke wake aende kuishi msituni kati ya wanyama wakali na majambazi[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Desemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.