Anastasi Dobi
Anastasi Dobi (Aquileia, leo nchini Italia, karne ya 3 - Salona, leo Solin nchini Kroasya, 304) alikuwa dobi huko Salona alipouawa kwa kutoswa baharini katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano wa Dola la Roma kwa sababu ya kudhihirisha imani yake ya Kikristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 26 Agosti[2][3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Saints of September 7: Anastasius the Fuller Archived 31 Desemba 2019 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |