Alberti Chmielowski
Mandhari

Albert Chmielowski, C.F.A.P.U. (Igołomia, Dola la Russia, 1845 – Krakow, Austria-Hungaria, 1916) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki katika Polandi ya leo.
Mchoraji maarufu, alijitosa kuhudumia fukara, akinuia kuwa tayari kabisa kuitikia mahitaji yao; kwa ajili hiyo akaanzisha shirika la Mabradha na Masista wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko, maarufu kama Waalberti [1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Juni 1983, halafu mtakatifu tarehe 12 Novemba 1989.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Desemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Picha
[hariri | hariri chanzo]- Ecce Homo
mchoro wa Adam Chmielowski (1881) - Picha ya Chmielowski
iliyochorwa na Aleksander Gierymski - Bradha Alberti
kadiri ya Leon Wyczółkowski (1934)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- The Plays of John Paul II Ilihifadhiwa 9 Julai 2014 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
