Adolfo wa Osnabruck

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Adolfo katika dirisha la kioo cha rangi.

Adolfo wa Osnabruck, O.Cist. (pia: Adolphus, Adolph, Adolf ; Tecklenburg, 1185 hivi - 30 Juni 1224) alikuwa askofu wa Osnabruck, Ujerumani kuanzia mwaka 1216 hadi kifo chake[1], baada ya kuwa padri, halafu mmonaki wa urekebisho wa Citeaux[2] [3].

Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Juni[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Monks of Ramsgate. “Adolphus”. Book of Saints, 1921. Saints.SQPN.com. 2 May 2012. Web. {2012-9-20}. http://saints.sqpn.com/book-of-saints-adolphus
  2. “Saint Adolphus of Osnabruck”. Saints.SQPN.com. 2 May 2012. Web. {2012-9-20}. http://saints.sqpn.com/saint-adolphus-of-osnabruck
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/40450
  4. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.