Yohane Maria Vianney
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maiti isiyooza ya Yohane Maria Vianney.
Yohane Baptista Maria Vianney (Dardilly, 8 Mei 1786 – Ars-sur-Formans, 4 Agosti 1859), alikuwa padri mwanajimbo wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa; kwa miaka mingi alifanya kazi ya uchungaji kama paroko wa kijiji cha Ars, huku sifa zake zikivuta watu kutoka nchi za nje ya Ulaya pia.
Alitangazwa na Papa Pius X kuwa mwenye heri tarehe 8 Januari 1905, halafu Papa Pius XI akamtangaza mtakatifu mwaka 1925 na msimamizi wa maparoko mwaka 1929.
[hariri] Viungo vya nje
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Yohane Maria Vianney kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |