Yohane Maria Vianney

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Mtakatifu Yohane Baptista Maria Vianney.
Maiti isiyooza ya Yohane Maria Vianney.

Yohane Baptista Maria Vianney (Dardilly, 8 Mei 1786Ars-sur-Formans, 4 Agosti 1859), alikuwa padri mwanajimbo wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa; kwa miaka mingi alifanya kazi ya uchungaji kama paroko wa kijiji cha Ars, huku sifa zake zikivuta watu kutoka nchi za nje ya Ulaya pia.

Alitangazwa na Papa Pius X kuwa mwenye heri tarehe 8 Januari 1905, halafu Papa Pius XI akamtangaza mtakatifu mwaka 1925 na msimamizi wa maparoko mwaka 1929.

[hariri] Viungo vya nje


Christian cross.svg Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohane Maria Vianney kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine