Vinsenti wa Paulo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vinsenti wa Paulo alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Ufaransa (Pouy, Gascony 24 Aprili 1581 - Paris 27 Septemba 1660).
Ni maarufu hasa kwa huruma yake kwa maskini na kama mwanzilishi wa mashirika mawili ya kitawa.
Alitangazwa na Papa Benedikto XIII kuwa mwenye heri tarehe 13 Agosti 1729, halafu Papa Klementi XII akamtangaza mtakatifu tarehe 16 Juni 1737.
[hariri] Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
- Life of St. Vincent de Paul by F. A. Forbes
- The life of St. Vincent de Paul (1856)
- Founder Statue in St Peter's Basilica
- Vincent on Leadership: The Hay Project
- "St. Vincent of Paul, Confessor", Butler's Lives of the Saints
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Vinsenti wa Paulo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |