Machansela wa Ujerumani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Jengo la Machansela la mjini Berlin ndiyo kitako cha Machansela.

Chansela wa Ujerumani (kwa Kijerumani: Bundeskanzler, katika fasihi: chansela wa shirikisho) ni kiongozi wa serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani. Chansela wa Ujerumani huchaguliwa na jopu la wabunge wa shirikisho hilo la Ujerumani (Bundestag).

Chansela wa sasa wa Ujerumani ni Angela Merkel wa chama cha (CDU), ambaye ni mwanamke wa kwanza kuchaguliwa katika nafasi hiyo ya Uchansela.

Yaliyomo

Bundeskanzler (tangu 1949) [hariri]

Orodha ya Machansela tangu 1949 [hariri]

  1. Konrad Adenauer (CDU), 1949-1963
  2. Ludwig Erhard (CDU), 1963-1966
  3. Kurt Georg Kiesinger[1] (CDU), 1966-1969
  4. Willy Brandt[1] (SPD), 1969-1974
  5. Helmut Schmidt (SPD), 1974-1982
  6. Helmut Kohl (CDU), 1982-1998
  7. Gerhard Schröder[1] (SPD), 1998-2005
  8. Angela Merkel (CDU), 2005-

Tazama pia [hariri]

Marejeo [hariri]

  1. 1.0 1.1 1.2 Pia aliwahi kuwa Rais wa Bundesrat wa Ujerumani