Domnini wa Digne

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Domnini wa Digne (alifariki Digne, leo nchini Ufaransa, 5 Novemba 379) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo kuanzia mwaka 364[1] [2]na wa mji wa Vienne[3].

Mzaliwa wa Afrika Kaskazini, alikwenda Roma mwaka 313 kushiriki sinodi dhidi ya Wadonati akatumwa na Papa Miltiades huko Ufaransa alipoinjilisha sehemu mbalimbali hadi Italia Kaskazini.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "L'histoire du diocèse". Diocèse catholique de Digne Riez et Sisteron. 16 November 2011. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-05-25. Iliwekwa mnamo 12 Nov 2012.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Saints Vincent et Domnin". Nominis. Iliwekwa mnamo 12 Nov 2012. 
  3. Hugues Du Tems (1775). Le clergé de France, ou tableau historique et chronologique des archevêques, évêques, abbés, abbesses et chefs des chapitres principaux du royaume, depuis la fondation des églises jusqu'à nos jours, par M. l'abbé Hugues Du Tems. Brunet. uk. 279. Iliwekwa mnamo 12 November 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.