Chama cha Kikristo cha Kidemokrasia cha Ujerumani
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Christlich Demokratische Union Deutschlands | |
|---|---|
| Kiongozi | Dk. Angela Merkel (Chansela) |
| Kimeanzishwa | 1870 (Kama Centre Party) 1945 (CDU) |
| Makao Makuu | Klingelhöferstraße 8 10785 Berlin |
| Itakadi ya Chama | Christian Democracy, Conservatism |
| Ushirikiano wa Kimataifa | Christian Democrat International na International Democrat Union |
| Ushirikiano kwa Ulaya | {{{Ulaya}}} |
| Kundi la Ubunge wa Ulaya | {{{bunge la ulaya}}} |
| Rangi | Black, Orange |
| Tovuti | www.cdu.de |
| Tazama pia | Siasa ya Ujerumani |
Chama cha Kikristo cha Kidemokrasia cha Ujerumani au Christlich Demokratische Union Deutschlands (CDU) ni moja kati ya vyama viwili vikubwa vya kisiasa nchini Ujerumani. Kinajielezea chenyewe kuwa:
chama cha kisiasa kilicho cha Kikristo, cha kidemokrasia, cha uhuru na cha mapokeo, chenye msimamo wa kati ya eneo la kisiasa.
Mnamo mwezi Novemba katika mwaka wa 2005 Bi. Angela Merkel amepata kuwa Chansela wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kwa kupitia kiti cha chama cha CDU.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chama cha Kikristo cha Kidemokrasia cha Ujerumani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |