Saksonia Chini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Saksonia ya chini)
Mahali pa Saksonia ya chini katika Ujerumani
bendera ya Saksonia ya chini

Saksonia ya chini (Kijerumani:Niedersachsen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 7,9 kwenye eneo la 47 609 km². Mji mkuu ni Hannover. Waziri mkuu ni Stephan Weil (SPD).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Saksonia ya chini imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini - Westfalia, Hesse, Saksonia-Anhalt, Mecklenburg-Pomerini, Schleswig-Holstein, Hamburg na Bremen.

Miji mikubwa ni pamoja na Hannover, Braunschweig, Göttingen, Oldenburg na Wolfsburg.

Elbe na Weser ni mito muhimu zaidi.

Picha za Saksonia ya chini[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saksonia Chini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-WürttembergBavaria (Bayern)BerlinBrandenburgBremenHamburgHesse (Hessen)Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern)Saksonia Chini (Niedersachsen)Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen)Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz)Saar (Saarland)Saksonia (Sachsen)Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt)Schleswig-HolsteinThuringia (Thüringen)