Majimbo ya Ujerumani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Majimbo ya Ujerumani ni sehemu zinazounda Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani.

Tangu mwaka 1990 ambapo maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani (1949 hadi 1990, ilijulikana pia kama Ujerumani wa Mashariki) yalijiunga na shirikisho kuna majimbo 16.

Majimbo hujitawala katika mambo mbalimbali kulingana na katiba ya Ujerumani.

Kila jimbo lina katiba yake, serikali, bunge na mahakama kulingana na mgawanyo wa madaraka.

Mabunge ya majimbo huchagua wawakilishi katika Bundesrat (Halmashauri ya Jamhuri ya Shirikisho) ambayo ni kitengo cha bunge la kitaifa pamoja na Bundestag.

Majimbo[hariri | hariri chanzo]

Namba Jimbo Kijerumani IPA Kifupisho Mji mkuu Ramani
1. Baden-Württemberg Baden-Württemberg De-Baden-Württemberger.ogg Baden-Württemberg (info) BW Stuttgart
KarteBerlinBremenBremenHamburgSaksonia ChiniBavariaSaarlandSchleswig-HolsteinSchleswig-HolsteinBrandenburgSaksoniaThuringiaSaksonia-AnhaltMecklenburg-Pomerini MagharibiBaden-WürttembergHesseRhine Kaskazini-WestfaliaRhine-Palatino
Karte
2. Bavaria Bayern Bar-Bayern.oga Bayern (info) BY München
3. Berlin Berlin De-Berlin-2.ogg Berlin (info) BE Berlin
4. Brandenburg Brandenburg De-Brandenburg.ogg Brandenburg (info) BB Potsdam
5. Bremen Bremen De-Bremer.ogg Bremen (info) HB Bremen
6. Hamburg Hamburg HH Hamburg
7. Hesse Hessen HE Wiesbaden
8. Mecklenburg-Pomerini Magharibi Mecklenburg-Vorpommern De-Mecklenburg-Vorpommern.OGG Mecklenburg-Vorpommern (info) MV Schwerin
9. Saksonia Chini Niedersachsen NI Hannover
10. Rhine Kaskazini-Westfalia Nordrhein-Westfalen De-Nordrhein-Westfalen.ogg Nordrhein-Westfalen (info) NW Düsseldorf
11. Rhine-Palatino Rheinland-Pfalz RP Mainz
12. Saar Saarland SL Saarbrücken
13. Saksonia Sachsen SN Dresden
14. Saksonia-Anhalt Sachsen-Anhalt SA Magdeburg
15. Schleswig-Holstein Schleswig-Holstein De-Schleswig-Holstein.ogg Schleswig-Holstein (info) SH Kiel
16. Thuringia Thüringen De-Thüringen.ogg Thüringen (info) TH Erfurt

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-WürttembergBavaria (Bayern)BerlinBrandenburgBremenHamburgHesse (Hessen)Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern)Saksonia Chini (Niedersachsen)Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen)Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz)Saar (Saarland)Saksonia (Sachsen)Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt)Schleswig-HolsteinThuringia (Thüringen)
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Majimbo ya Ujerumani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.