Magdeburg
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Magdeburg | |
| Mahali pa mji wa Magdeburg katika Ujerumani | |
| Anwani ya kijiografia: 52°8′N 11°37′E / 52.133°N 11.617°E | |
| Nchi | Ujerumani |
|---|---|
| Jimbo | Saksonia-Anhalt |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 230.000 |
| Tovuti: www.magdeburg.de | |
Magdeburg ni mji mkuu wa Saksonia-Anhalt nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Elbe. Idadi ya wakazi wake ni takriban 230,000.
Tazama pia[hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
| Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Magdeburg kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |