Afrika ya Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nchi za Afrika ya Kusini

Afrika ya Kusini ni ukanda ulioko kusini mwa bara la Afrika.

Katika hesabu ya UM nchi 5 zifuatazo huhesabiwa kuwa sehemu za ukanda huo:


Jina la nchi au eneo,
bendera
Mji Mkuu
Botswana
Gaborone
Eswatini
Mbabane
Lesotho
Maseru
Namibia
Windhoek
Afrika Kusini
Bloemfontein, Cape Town, Pretoria

Mara nyingi nchi zifuatazo zinatajwa pia kuwa nchi za Afrika ya Kusini: