Bloemfontein

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Bloemfontein
Skyline ya Jiji la Bloemfontein
Jiji la Bloemfontein is located in South Africa
Jiji la Bloemfontein
Jiji la Bloemfontein
Mahali pa mji wa Bloemfontein katika Afrika Kusini
Coordinates: 29°9′0″S 26°13′48″E / Expression error: Unexpected < operator Expression error: Unexpected < operator / Expression error: Unexpected < operator; Expression error: Unexpected < operator
Nchi Afrika Kusini
Majimbo Dola Huru
Website: www.bloemfontein.co.za
Bloemfontein wakati wa mchana
Bunge la Vrystaat (1893) pamoja na sanamu ya jenerali ya Makaburu Christiaan de Wet

Bloemfontein (tamka: "Blumfontain" - Kiholanzi/Kiafrikaans "chemchemi ya maua") ni kati ya miji mikuu mitatu ya Afrika Kusini pamoja na Pretoria na Cape Town. Jina la Kisotho ni Mangaung linalomaanisha "kwa duma". Bloemfountain ni makao ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini pia mju mkuu wa mkoa wa Vrystaat (au: Free State - "Dola huru").

Mji uko kwenye uwanja wa juu wenye kimo cha 1,395 m juu ya UB.

Mji mwenyewe una takriban wakazi 500,000. Kuna mji wa pili pamoja nao wa Mangaung wa wakazi 650,000 uliojengwa wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi kwa ajili ya watu weusi.

[hariri] Tazama pia

[hariri] Viungo vya nje

Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bloemfontein kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: