Yosefu Yuan Zaide

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Yosefu Yuan Zaide alikuwa padri wa China aliyefia Ukristo kwa kunyongwa huko Chengdu 24 Juni 1817[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu mfiadini mwaka 2000.

Sikukuu yake na ya wenzake 119 huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 24 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.