Yosefu Sebastiani Pelczar
Mandhari

Yosefu Sebastiani Pelczar (17 Januari 1842 – 28 Machi 1924) alikuwa askofu wa Przemyśl (leo nchini Polandi) kuanzia mwaka 1900 hadi kifo chake.[1]
Pamoja na kuwa mwalimu maarufu wa maisha ya Kiroho, alisaidia watu kwa kila namna na kuanzisha shirika la Wajakazi wa Moyo Mtakatifu wa Yesu[2].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 2 Juni 1991 halafu mtakatifu tarehe 18 Mei 2003.[3]
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/91593
- ↑ Józef Sebastian Pelczar (1842-1924)
- ↑ "Saint Joseph Sebastian Pelczar". Saints SQPN. 11 Juni 2015. Iliwekwa mnamo 6 Julai 2015.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Hagiography Circle Ilihifadhiwa 6 Januari 2022 kwenye Wayback Machine.
- Saints SQPN
- Catholic Hierarchy
- Sister Servants of the Most Sacred Heart of Jesus Ilihifadhiwa 25 Juni 2014 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |