Yohane Twenge
Mandhari

Yohane Twenge (pia: John of Bridlington, John Thwing, John of Thwing, John Thwing of Bridlington; Thwing[1], 1320 - 10 Oktoba 1379) alikuwa kanoni Mwaugustino wa Uingereza ambaye alisifiwa kwa sala, ugumu wa maisha, upole, uadilifu, elimu, ukarimu na karama[2].
Papa Bonifas IX alimtangaza kuwa mtakatifu mwaka 1401[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Wilson, Mike. "St John of Bridlington", Bridlington.net Archived 17 Juni 2013 at the Wayback Machine
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/92967
- ↑ The canonisation had been doubted and disputed; but the original Bull was unearthed in the Vatican archives by T. A. Twemlow, who was engaged in research work there for the British government.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
