Yohane Mbatizaji Zhou Wurui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Yohane Mbatizaji Zhou Wurui (Lujiazhuang, 1883 hivi - Zhujiahe, 19 Julai 1900) alikuwa mvulana wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia.

Mbele yao alijitambulisha kishujaa kuwa Mkristo na kwa ajili hiyo alikatwa viungo mbalimbali na hatimaye aliuawa kwa shoka[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.