Shoka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya shoka.

Shoka ni kifaa kinachotumika kukatia magogo, nyama, mifupa, kuni n.k.

Ukitaka kuunda shoka unatakiwa uwe na mpini na chuma.

Shoka lina faida na hasara zake; mfano ni: ukikosea kukata unaweza kukata kuni vibaya au kujikata wakati unakata nyama.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.