Woga


Woga ni tabia ya kupatwa na hofu kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulanifulani.
Kila mtu ana woga wake, huenda ikawa juu ya Mungu, malaika, shetani, roho, lakini pia juu ya mnyama, mahali, kifo, mauaji, giza n.k.
Kila mmoja anatakiwa kujitawala asije akashindwa na tabia hiyo hata kuacha majukumu yake.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |