Wiliamu wa Malavalle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Wiliamu alivyochorwa na Antonio Nasini.

Wiliamu wa Malavalle (pia: Wiliamu Mkuu; alifariki Grosseto, Italia, 10 Februari 1157) baada ya kuongoka alikuwa mkaapweke kutoka Poitiers, Ufaransa, ambaye alipata wafuasi wengi walioanzisha konventi hadi Ubelgiji kwa jina la shirika la Mt. Wiliamu[1].

Alitangazwa mtakatifu na Papa Inosenti III tarehe 8 Mei 1202.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.