Kahama (mji)
Kata ya Kahama | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Shinyanga |
Wilaya | Kahama |
Idadi ya wakazi | |
- | 32,345 |
Kahama ni mji ulio makao makuu ya wilaya ya Kahama katika Mkoa wa Shinyanga wenye halmashauri yake ya pekee hivyo mwenye hadhi ya wilaya. Halmashauri ilianzishwa baada ya kugawa kwa Wilaya ya Kahama ya awali. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 242,208. [1]
Mji huu ni maarufu kwa uchimbaji wa dhahabu. Pia ni mji wa pili kwa mapato kati ya halmashauri za wilaya, ikitanguliwa na Kinondoni na kufuatiwa na Mufindi.
Tangu 1984 mji umekuwa makao makuu ya dayosisi ya Kahama ya Kanisa Katoliki.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- [http://web.archive.org/20080317142956/http://tecdirectory.tripod.com/dkahama.htm Archived Machi 17, 2008 at the Wayback Machine. Jimbo Katoliki la Kahama]
![]() |
Kata za Wilaya ya Kahama Mjini - Mkoa wa Shinyanga - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Busoka | Isagehe | Iyenze | Kagongwa | Kahama Mjini | Kilago | Kinaga | Majengo | Malunga | Mhongolo | Mhungula | Mondo | Mwendakulima | Ngogwa | Nyahanga | Nyandekwa | Nyasubi | Nyihogo | Wendele | Zongomera |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Shinyanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kahama (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |