Whitney Houston

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Whitney Houston
Whitney Houston akiimba kwenye Welcome Home Heroes with Whitney Houston mnamo 1991
Whitney Houston akiimba kwenye Welcome Home Heroes with Whitney Houston mnamo 1991
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Whitney Elizabeth Houston
Amezaliwa Agosti 9 1963 (1963-08-09) (umri 60)
Newark, New Jersey, US
Asili yake East Orange, New Jersey
Amekufa Februari 11, 2012 (umri 48)
Kazi yake Mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mtayarishaji wa rekodi, mtayarishaji wa filamu, mwanamitindo
Ala Sauti, piano
Aina ya sauti Mezzo-soprano[1]
Miaka ya kazi 1977–2012
Studio Arista
Tovuti www.whitneyhouston.com

Whitney Elizabeth Houston (9 Agosti 1963 - 11 Februari 2012) alikuwa mwimbaji maarufu, mcheza filamu na mwanamitindo kutoka nchini Marekani. Whitney ni mshindi wa Tuzo ya Grammy - akiwa kama mwimbaji bora wa pop/R&B, mwigizaji, mtayarishaji wa filamu, mtunzi wa nyimbo na mwanamitindo wa zamani. Anafahamika zaidi kwa kuwa sauti kali yenye nguvu na mvuto.[2] Anafahamika zaidi kwa kupitia wimbo wake wa "I Will Always Love You" na "I Wanna Dance with Somebody" kutoka katika toleo lake la 'The Star Spangled Banner.'

Whitney ni mmoja kati ya wasanii wa kike waliopata mafanikio makubwa kabisa katika medani ya muziki. Moja kati ya albamu zake ambazo zilipata kuwa maarufu zaidi ni pamoja na The Bodyguard (Kibwagizo bora kwa mauzo bora kwa miaka yote) na ndiyo albamu yake iliyofanya vizuri kupita zote.

Whitney Houston alifariki mnamo tarehe 11 Februari 2012 katika mazingira ya utata. Mwili wake ulikutwa katika chumba cha hoteli ya Beverly Hilton huko Beverly Hills,California.[12]

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Diskografia[hariri | hariri chanzo]

Studio albamu

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Dean, Maury (2003). Rock-N-Roll Gold Rush. Algora Publishing. p. 34. ISBN 0875862071. 
  2. Caramanica, Jon (2012-02-12), "A Voice of Triumph, the Queen of Pain", The New York Times (in en-US), ISSN 0362-4331, retrieved 2022-10-20 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Whitney Houston kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.