Wafiadini wa Ijumaa Kuu wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wafiadini wa Ijumaa Kuu wa Aleksandria (walifariki 339) walikuwa Wakristo wa Aleksandria (Misri) ambao waliuawa makanisani siku ya Ijumaa Kuu wakati wa dhuluma ya kaisari Constans I kwa kushikilia imani sahihi na kukataa Uario.

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 21 Machi[1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.