Thaura

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Thaura (kutoka neno la Kiarabu) ni aina ya mapinduzi ambapo serikali hugeuzwa na jeshi au watu wanaohusiana na serikali bila wananchi kwa jumla kushiriki. 

Aina[hariri | hariri chanzo]

Majibu ya kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Mashirika kama vile Umoja wa Afrika na Ushirika wa Nchi za Amerika yamepitisha mifumo ya kupambana na mapinduzi ya kijeshi. Kupitia tishio la vikwazo, mashirika hayo hujaribu kukabiliana na mapinduzi ya kijeshi. Utafiti wa mwaka 2016 umegundua kuwa Umoja wa Afrika unachukua hatua za maana katika kupunguza thaura katika bara la Afrika.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Varol, Ozan O. (7 November 2017). The Democratic Coup d'État. Oxford University Press.
  2. Powell, Jonathan; Lasley, Trace; Schiel, Rebecca (7 January 2016). "Combating Coups d’état in Africa, 1950–2014". Studies in Comparative International Development (in English): 1–21. ISSN 0039-3606. doi:10.1007/s12116-015-9210-6.  More than one of |ISSN= and |issn= specified (help); More than one of |DOI= and |doi= specified (help)