Talalei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Talalei (au: Talelao; kwa Kigiriki: Θαλέλαιος au Θαλλέλαιος, Thalelaios au Thallelaios; Foinike, leo Lebanoni, 265 hivi - Ayas, Kilikia, Uturuki wa leo, 284) alikuwa tabibu Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Mei[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.