Tadayo Liu Ruiting

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Tadayo Liu Ruiting (1773 hivi - Quxiyan 30 Novemba 1823) alikuwa padri wa China aliyefia Ukristo kwa kunyongwa.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu mfiadini mwaka 2000.

Sikukuu yake na ya wenzake 119 huadhimishwa tarehe 9 Julai, ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.