Simplisi wa Autun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Simplisi wa Autun (alifariki Autun, leo nchini Ufaransa, 375 hivi) alikuwa mkabaila aliyechaguliwa kuwa askofu wa mji huo [1] baada ya kuishi katika ndoa bila kufanya tendo la ndoa na mke wake mwadilifu sana [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake ni tarehe 24 Juni[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, p. 174-176.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/59270
  3. (Kilatini) Giovanni Battista de Rossi na Louis Duchesne, Martyrologium Hieronymianum, katika Acta Sanctorum Novembris, II (1894), pp. [82] e [145].
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Marie-Odile Garrigues, Semplicio, vescovo di Autun, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. XI, col. 1198

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.