Simetri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Simetri (alifariki Roma, 159 hivi) alikuwa padri wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa ajili ya imani yake chini ya kaisari Antoninus Pius [1].

Pamoja naye walizikwa wafiadini wengine 22[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.