Simeoni I wa Aleksandria
Mandhari
Simeoni I wa Aleksandria (alifariki 699) kuanzia mwaka 692 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 42 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Coptic-Syriac Relations beyond Dogmatic Rhetoric
- Coptic Live of Saints- 24 Abib:- Departure of St. Simeon I, 42nd Pope of Alexandria.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
