Nenda kwa yaliyomo

Silvino wa Auchy

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Silvino wa Auchy (Toulouse, leo nchini Ufaransa, 650 hivi - Auchy, Arras, 717/718) alikuwa askofu mmisionari katika Ufaransa kaskazini mashariki anayesemekana kuwa na asili ya Ireland au Uskoti[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Februari[2][3][4].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/41410
  2. Martyrologium Romanum
  3. « Prions en Église » - Éditions Bayard - février 2010 - page 7.
  4. nominis.cef.fr Nominis : Saint Sylvin.

Marejeo ya Kiswahili

[hariri | hariri chanzo]
  • John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 58

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.