Silvino wa Auchy
Mandhari
Silvino wa Auchy (Toulouse, leo nchini Ufaransa, 650 hivi - Auchy, Arras, 717/718) alikuwa askofu mmisionari katika Ufaransa kaskazini mashariki anayesemekana kuwa na asili ya Ireland au Uskoti[1] .
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Februari[2][3][4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ [1]
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ « Prions en Église » - Éditions Bayard - février 2010 - page 7.
- ↑ nominis.cef.fr Nominis : Saint Sylvin.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Silvinus at Patron Saints Index
- 17 February saints at Saint Celtes et Belges Ilihifadhiwa 27 Aprili 2006 kwenye Wayback Machine.
- 17 February saints at St. Patrick's Church Ilihifadhiwa 12 Februari 2012 kwenye Wayback Machine.
- [2]
- [3]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |