Sentola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini chake na cha Mt. Helena[1].

Sentola (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Burgos, Hispania, 304) alikuwa msichana Mkristo aliyeuawa kwa imani yake katika dhuluma ya kaisari Masimino.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. J. Richard Stracke (n.d.). "St. Centola, Virgin and Martyr". Georgia Regents University. Iliwekwa mnamo April 19, 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/65320
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.