Senan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Senan wa Inis Cathaigh (jina kamili kwa Kieire: Senán mac Geircinn; Moylougha, 488 - Inis Cathaigh, 544) alikuwa mmonaki padri wa Ireland na abati mwanzilishi wa Inis Cathaigh, kisiwa cha Scattery[1].

Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.

Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe 8 Machi, sikukuu yake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.