Rosalind Franklin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
hii ni picha ya Rosalind Franklin akifanya uchunguzi

Rosalind Elsie Franklin (25 Julai 1920 - 16 Aprili 1958) alikuwa mwanakemia wa Kiingereza na msomaji wa masomo ya kioo cha X-ray ambaye alitoa michango ya kuelewa miundo ya molekuli ya DNA (deoxyribonucleic acid), RNA (ribonucleic acid), virusi, makaa ya mawe na grafiti.

Ingawa kazi zake juu ya makaa ya mawe na virusi zilikubalika wakati wa maisha yake, michango yake ya ugunduzi wa muundo wa DNA ilijulikana kwa kiasi kikubwa baada ya kutumiwa.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rosalind Franklin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.