Restitutus wa Karthago
Mandhari
Restitutus wa Karthago (alifariki 373 hivi) alikuwa askofu wa mji huo wa Tunisia ya leo kuanzia mwaka 352 hadi kufa kwake.
Alitetea imani sahihi dhidi ya Uario.
Augustino wa Hippo alitoa hotuba ya kumsifu, lakini imepotea, hivi hatuna habari za jinsi alivyokufa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- (Kilatini) Stefano Antonio Morcelli, Africa christiana, vol. I, Brescia 1816, p. 53
- (Kifaransa) Joseph Mesnage, L'Afrique chrétienne, Paris 1912, pp. 4–5
- (Kifaransa) Anatole Toulotte, Géographie de l'Afrique chrétienne. Proconsulaire, Rennes-Paris 1892, pp. 86–87
- (Kifaransa) André Mandouze, Prosopographie chrétienne du Bas-Empire, 1. Prosopographie de l'Afrique chrétienne (303-533), Paris, Éditions du Centre National de la Recherche Scientifique, 1982, pp. 968–969
- (Kiitalia) Manlio Simonetti, La crisi ariana nel IV secolo, Institutum Patristicum Augutinianum, Roma 1975
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |