Ramon wa Fitero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Ramon akipigana na Waislamu vitani.

Ramon wa Fitero (pia: Raimundo, Raymond; karne ya 12 - 1163) alikuwa padri kanoni, halafu mmonaki na hatimaye abati wa monasteri ya mji huo, mwanzilishi wa shirika la kijeshi la Calatrava na mkombozi mkubwa wa Wakristo nchini Hispania[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Klementi XI mwaka 1719.

Sikukuu huadhimishwa tarehe 1 Februari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.