Petro Spano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Petro Spano (kwa Kiitalia: Pietro Spanò; Calabria, Italia Kusini, karne ya 11Ciano, Calabria, karne ya 12) alikuwa mkaapweke wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa ufukara na moyo wa toba, halafu mwanzilishi wa monasteri ya Ciano[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 5 Juni [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.